Ni kwa hali gani haupaswi kutumia mbinu ya kunyonyesha kipindi hakuna hedhi (LAM)?

Ni kwa hali gani haupaswi kutumia mbinu ya kunyonyesha kipindi hakuna hedhi (LAM)?
Ni kwa hali gani haupaswi kutumia mbinu ya kunyonyesha kipindi hakuna hedhi (LAM)?

Kuna hali chache za kiafya ambazo zinaweza kukufanya usiweze kutumia LAM kama njia ya uzuiaji mimba. Kuwa na hali hizi kunamaanisha utashauriwa kukoma kumnyonyesha mtoto au unyonyeshe kwa nanma ambayo itapunguza ufanisi wa LAM.

LAM haikubaliwi kabisa kama

-mtoto ana ugonjwa ambayo ina athiri mtindo wake wa kunyonya mara kwa mara. Watoto ambao wanaugua galactosemia kwa kawaida badala ya maziwa ya mama watapewa chakula ambacho kinaweza kuwasaidia wapone (6).

-unatumia dawa zozote za kubadilisha hisia ambazo zinaweza kuathiri kunyonyesha.
-unatumia dawa dawa yoyote ambayo haiingiani na kunyonyesha, kwa mfano, dawa za kuzuia kuganda kwa damu (anticoagulants)
Kulingana na vipimo vya afya, LAM inaweza kupendekezwa kwa tahadhari kama
-Una UKIMWI au imedhibitishwa una VVU. VVU vinaweza kupitishwa kutoka kwa mama hadi kwa mtoto. Kulingana na makali yake, kama una VVU, utashauriwa kuhusu hatari zinazohusishwa na kunyonyesha na kama itakuwa lazima utumie vyanzo vingine vya virutubisho kwa mtoto wako. Kama una VVU na unapata tiba ya kupunguza makali (ART), unaweza kutumia LAM.
-una kifua kikuu (TB). Ingawa TB haiwezi kupitishwa kupitia kunyonyesha, hali ya kugusana kwa karibu kati ya mama na mtoto wakati wa kunyonyesha kunamweka mtoto katika hatari kubwa ya kuambukizwa.

Contraception Quiz

Not sure on the method? - Take our dynamic Contraception Quiz.
When it comes to sex, protection is as important as pleasure. But what should one do to start their safe sex journey? Answer some simple questions and based on the responses, we will recommend the next steps.

Take the quiz
External Condom

Compare with similar Contraceptive Methods

Are you wondering if condoms are better than daily pills? Or if you should opt for a birth control implant? We're here to assist you in making this decision. You can select up to 5 contraceptive methods and compare them side by side to weigh the pros and cons of each.

Give a try to our Contraceptive Tool

In the example below, you'll find similar methods to the one you're currently reading about. Feel free to click on any that catch your interest or revisit our Contraceptive Methods page

Our Monthly Top Articles

Mnong’onezaji wa mambo ya uke: Jinsi ya kupenda uke wako hivyo ilivyo

Mnong’onezaji wa mambo ya uke: Jinsi ya kupenda uke wako hivyo ilivyo

Kabla tuzungumzie mambo ya kuthamini uke, tucheze mchezo ambapo una alama 50 kutoka mwanzo. Nina orodha ya maswali 5 na ikiwa umawahi fanya kile kilichoulizwa kwenye swali, unapoteza alama 10. Twen...

Njia 6 tunaweza kuchukua udhibiti wa uzazi wa mpango kama wanaume

Njia 6 tunaweza kuchukua udhibiti wa uzazi wa mpango kama wanaume

Ingawa ngono salama ni jukumu la wanaume na wanawake, mambo ya uzazi wa mpango imechukuliwa tangu kitambo  kama jukumu la mwanamke. Ingekuwa wanaume wangechukua jukumu la kutumia njia za kuzuia mim...

Mnong’onezaji wa mambo ya uke: Jinsi ya kupenda uke wako hivyo ilivyo

Mnong’onezaji wa mambo ya uke: Jinsi ya kupenda uke wako hivyo ilivyo

Kabla tuzungumzie mambo ya kuthamini uke, tucheze mchezo ambapo una alama 50 kutoka mwanzo. Nina orodha ya maswali 5 na ikiwa umawahi fanya kile kilichoulizwa kwenye swali, unapoteza alama 10. Twen...

Njia 6 tunaweza kuchukua udhibiti wa uzazi wa mpango kama wanaume

Njia 6 tunaweza kuchukua udhibiti wa uzazi wa mpango kama wanaume

Ingawa ngono salama ni jukumu la wanaume na wanawake, mambo ya uzazi wa mpango imechukuliwa tangu kitambo  kama jukumu la mwanamke. Ingekuwa wanaume wangechukua jukumu la kutumia njia za kuzuia mim...

Yote unayostahili kujua kuhusu uelewa wa kizazi kama njia ya uzuiaji mimba

Yote unayostahili kujua kuhusu uelewa wa kizazi kama njia ya uzuiaji mimba

Je unafanya ngono mara kwa mara? Unatumia njia gani ya uzuiaji mimba? Umesikia kuhusu njia ya uelewa wa kizazi? Wanawake wengi duniani kote wanafanya ngono kwa sababu tofauti na kupata watoto. Hawa...