Sera ya Faragha

Pata hapa sera ya faragha tunayotekeleza katika Tafuta Njia Yangu. Unaweza kushauriana jinsi tunavyotumia data yako, mahali inapohifadhiwa, usalama tunaotekeleza, na zaidi.
Sera ya Faragha

 

    1. Usuli:
      www.findmymethod.org inaelewa na kuthamani faragha za kila mtu anayetembelea Tovuti yetu na Tutakusanya na kutumia tu taarifa kwa njia za manufaa kwako na kwa njia itakayoheshimu haki zako na uwajibikaji wetu chini ya sheria.
      Sera hii inatumika kwa data yoyote au data yote itakayokusanya nasi kutokana na matumizi yako ya Tovuti yetu. Tafadhali soma hii Sera ya Faragha kwa makini na hakikisha kuwa unaielewa. Kukubali kwako wa Sera Yetu ya Faragha unachukuliwa kuwa umefanyika mara ya kwanza unatembelea Tovuti Yetu. Ikiwa haukubali na haukubaliani na Sera hii ya Faragha, Lazime usiti kutumia Tovuti yetu Mara hiohio.
    2. Sera hii Inajumlisha
      Sera hii ya Faragha inatumika tu kwa matumizi yako ya Tovuti Yetu.Haitumiki kwa tovuti zingine zilizounganishwa kwenye tovuti yetu ( Hata ikiwa tumetoa viungo hivyo ama ikiwa vimesambazwa na watumizi wengine). Hatuna udhibiti wa jinsi data yako itakusanywa, hifadhiwa au tumika na tovuti zingine na tunakushauri usome sera za faragha za tovuti hizo kabla ya kuyapa data yoyote
    3. Data tunazokusanya
      Data zako za jumla zitazikusanya zenyewe kwenye Tovuti Yetu. Pata data za jumla ambazo zinaweza kuzikusanya zenyewe hapa chini.

      • A. Anwani ya IP na eneo
      • B. Aina ya Kivinjari cha wavuti na Aina ya mfumo wa uendeshaji
      • C. Orodha ya URL inayoanza na Tovuti iliyokuunganisha na tovuti hii, shughuli zako kwenye Tovuti yetu

      Hatukusanyi data yoyote ya kibinafsi inayoweza kukutambulisha kwa wengine, na ikiwa kunakusudia kuzikusanya baadaye tutaomba idhini ya watumiaji.

    4. Ni vipi tunatumia data yako?
      • A. Data zote za jumla zinahifadhiwa salama kulingana na Kanunu Za Kulinda Data za Jumla za Umoja wa Ulaya (GDPR). Tunatumia data yako kukupa huduma zitakazo kufaa. Hii ni pamoja na:
        • A.1. Kutoa na kusimamia upatikanaji wa tovuti yetu kwako.
        • A.2. Kutoa Huduma zinazoingiana na kufaa nafsi yako
        • A.3. Kuchunguza matumizi yako ya Tovuti yetu [ na kukusanya majibu] ili kutuwezesha kuendelea kuboresha Tovuti Yetu na ridhaa ya watumizi.
      • B. Katika hali zingine,ukusanyaji wa data unaweza kukuwa matakwa ya kisheria au ya maafikiano.
      • C. Tutachukua hatua zote za busara kuhakikisha kwamba tumelinda haki zako na tunatekeleza uwajibikaji wetu chini ya kanuni za GDPR na sheria zingine husika zinazotumika.
    5. Kwa namna gani na Wapi tunahifadhi data zako?
      • A. Vile ilivyo, tunahifadhi data za jumla isipokuwa kama mtumiaji ataomba tuzifute. Hata hivyo, tunafanya uhakiki wa kila mwaka wa kuona ikiwa tunahitaji kuhifadhi data zako. Data yako itafutwa ikiwa hatuzihitaji tena kulingana na masharti ya Sera yetu.
      • B. Sehemu ya data zako au data zako zote zinaweza kuhifadhiwa au kuhamishwa nje ya Eneo la Kuichumi la Ulaya (EEA) (EEA inajumuisha nchi wanachama wote wa Umoja wa Ulaya ikiwemo Norway,Iceland na Liechtenstein) Unachukuliwa kukubali na kukubaliana na hili ukitumia Tovuti Yetu na kutupa taarifa. Ikiwa tutahifadhi data ama kuzihamisha nje ya EEA, tutachukua hatua zote za busara kuhakikisha kwamba data yako inatunzwa kwa njia salama sawa na vile ingetunzwa ndani ya EEA na chini ya GDPR. Hatua hizi zinaweza kujumuisha, na mengine, Utumiaji wa kanuni za maafikiano, zisizoweza kuvunjwa chini ya sheria, kati yetu na washirika wengine tutakao shirikiana nao. Hatua za Ulinzi zinazotumika ni:
        • B.1. Data inahamishwa kwa njia salama kupitia itifaki za ufichuzi data za SSL (SSL encrypted protocal)
        • B.2. Data inahifadhiwa salama kwenye sava za ufichuzi Koumbit zilizo Canada
      • C. Licha ya hatua za usalama ambazo tumechukua, Ni muhimu kukumbuka kwamba upitishaji wa data kwenye mtandao hauwezi kuwa salama kabisa na unashauriwa kuchukua tahadhari za kufaa wakati unatupitishia data kupitia mtandao
    6. Tunasambaza data zako?
      • A. Tunaweza kusambaza data zako kwa Shirika letu kuu na matawi yake.
      • B. Tunaweza ingia makubaliano na washirika wengine ili kukupa huduma bora zaidi. Hizi zinaweza kujumuisha Mitambo za utafutaji, Google analytics na utangazaji na uuzaji. Kwa hali zingine, washirika wanaweza kuhitaji uwezo wa kupata sehemu ya data zako au data zako za jumla zote. Mahali data zako zitahitajika kwa lengo kama hili, tutaomba idhini yako na kuchukua hatua zote za busara kuhakikisha kwamba data zako zinatunzwa salama na kwa kulingana na haki zako, uwajibikaji wetu, na uwajibikaji wa washirika wengine chini ya sheria. Kwa wakati huu, tuna makubaliano na:
      • Jina la mshirika Kusudi Data inayotolewa
        Google Analytics Pata takwimu kuhusu matokeo na hadhira Google ina ukurasa wake kwa maelezo https://support.google.com/analytics/answer/6318039?hl=en

         

      • C. Tunaweza kuchukua takwimu kuhusu matumizi ya Tovuti Yetu ikiwemo takwimu juu ya idadi ya watu wanoitumia, mkondo wa matumizi na taarifa zingine. Tunaweza kusambaza taarifa hizi kwa washirika wengine mara kwa mara. Data zitasambazwa tu na kutumika chini ya sheria.
      • D. Katika hali zingine, tunaweza hitajika kisheria kusambaza data zingine tulizo nazo, ambazo zinaweza kuwa data za jumla, kwa mfano, kwa hali ambayo tuna kesi mahakamani, Wakati tunatimiza matakwa za kisheria, agizo la mahakama, au mamlaka ya serekali. Hatuhitaji idhini yoyote ingine kutoka kwako ili kusambaza data zako kwa hali kama hizi na tutatimiza matakwa za kisheria ambazo tume ombwa kutimiza.
    7. Usalama
      Tunatumia taratibu na michakato za usalama za kiteknolojia na sanifu kulinda usiri wa taarifa za watumizi. Waajiriwa, maajenti na washirika wetu wanafanya kila kitu chini ya udhibiti wao kulinda taarifa zako.
      Kindani, upatikanaji wa taarifa za watumiaji wote unawezekana tu kwa wale wanaohitaji kupata taarifa hizo ili kutekeleza jukumu zao za kazi na wameingia kwenye mkataba wa usiri.
    8. Haki ya Kukatalia na Kuondoa Taarifa. Kutumia sehemu zote na utendakazi zinazopatikana kwenye Tovuti yetu, unaweza kuhitajika kutoa au kukubali ukusanyaji wa data fulani.
  • Ni vipi unaweza kupata Data zako?
    Una haki ya kisheria ya kuomba nakala ya data yako ya kibinafsi yoyote tulionayo. Tafadhali wasiliana nasi kwa maelezo zaidi kwenye privacy@findmymethod.org.
  • Tunatumia Vidakuzi?“Vidakuzi” ni vipande vidogo vya taarifa vinavyo wekwa na tovuti kwenye diski kuu ya kompyuta yako. Vidakuzi havikusanyi taarifa zako nyeti za kibinafsi. Tunatumia vidakuzi kuchunguza data kuhusu utumiaji wa ukurasa wetu wa tovuti, kitu kinachotusaidia kuhifadhi upendeleo wako kwa wakati utatembelea tovuti baadaye. Hili linatupa fursa ya kuweka Tovuti yetu iingiane na upendeleo wako, na kutuwezesha kutoa huduma zilizobinafsishwa kwa watumiaji wetu. Unaweza kuchagua kukubali au kukataa vidakuzi.Tafadhali ujue kwamba kwa kukataa vidakuzi kuna uwezekano kwamba hautaweza kutumia tovuti yetu kwa njia kamilifu.
    Tovuti Yetu inatumia Google Analytics kukusanya na kuchunguza takwimu za utumiaji, na kutuwezesha kuelewa bora jinsi watu hutumia Tovuti Yetu.Utumiaji wetu wa Google analytics haileti hatari yoyote kwa faragha yako au matumiaji salama ya tovuti yetu. Inatuwezesha kuendelea kuboresha tovuti yetu, na kuiweka ya kukufaa zaidi.
  • Tovuti zilizo Unganishwa
    Tovuti hii inaweza kuwa na viungo vya tovuti zingine. Tafadhali jua kwamba hatuwajibiki kwa mambo ya faragha ya tovuti hizi zingine.Tunahimiza watumiaji wawe wanajua wakitoka kwenye tovuti hii na wasome kauli kuhusu faragha za kila tovuti watatembelea. Ilhali tunachagua kwa makini tovuti za kuunganisha, Ilani hii ya Faragha inatumika tu kwa taarifa zilizokusanya kwenye tovuti yetu.
  • Kuwasiliana nasi
    Ikiwa una maswali yoyote kuhusu Tovuti Yetu au Sera hii ya Faragha, tafadhali wasiliana nasi kwa barua pepe privacy@findmymethod.org. Tafadhali hakikisha kwamba swali lako linaeleweka, hasa ikiwa ombi kuhusu taarifa za data zako tulizonazo.
  • Mabadiliko kwenye Sera yetu ya Faragha
    Tunaweza kubadilisha Sera hii ya Faragha jinsi tunavyo ona inahitajika, mara kwa mara au jinsi inavyohitajika na sheria. Mabadiliko yoyote yatawekwa kwenye Tovuti Yetu na utachukuliwa kukubali masharti ya Sera ya Faragha mara ya kwanza kutumia Tovuti Yetu baada ya mabadiliko. Tunapendekeza kwamba uangalie ukurasa huu mara kwa mara ili uwe na habari ya kinachoendelea.